Nimeanza kazi
Nimeanza kazi ya kuyaweka katika maandishi Mambo 100 ya wananchi yaliyotupwa na pamoja na makosa 50 ya kiuandishi ya Katiba Inayopendekezwa. Ombi si lazima likubaliwe, ila ombi langu ni kwenu ninyi kusoma na kufuatilia na kulinganisha wenyewe na mkiuona ukweli tunao usema basi msione haya kuisimamia kweli kwa faida ya Taifa letu leo na kwa ajili ya vizazi vijavyo
Karibuni pia kutizama video fupi ya mdahalo wa Katiba wa Mlimani City. Asante. Bado tunaweza kupata Katiba Bora, Ukimaliza sambazia na wengine wengi zaidi.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment